Baba Yetu Ii

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianSign of Peace
Chorus

Baba yetu

Uliye juu mbinguni jina lako litukuzwe,n(Ee Baba)

Verse 2

Ufalmeo ufke utakalo lifanyike dunianinkama Mbinguni. Baba wa mbinguni jinanlako litukuzwe.

Verse 3

Utupe leo mkate, mkate wetu na utupentupe mkate wa kila siku. Baba wanmbinguni jina lako litukuzwe.

Verse 4

Makosa tusamehe kama vile twasamehenwatu waliotukosea. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.

Verse 5

Usitutie penye kishawishi walakininmaovuni utuopoe. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.n

Verse 6

Kwa kuwa ufal me ni wako na nguvu nanutukufu hata milele. Baba wa mbinguninjina lako litukuzwe.