Chorus
Baba yetu Baba wa Mbingunin[Na] Jina lako litukuzwe
Verse 2
Ufalme wako ufike, utakalo lifanyike [na]
Verse 3
Tupe leo mkate wetu wa kila siku [na]
Verse 4
Tusamehe makosa yetu kama vile twawasamehe
Verse 5
Situtie kishawishini walakini utuopoe [na]n
Verse 6
Kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufun