Chorus
Baba yangu, baba yangu,n kikombe cha mateso,nnisinywe ukitaka, ukitaka
Verse 2
Ninatoa jasho - Baba yangu, baba yangu,
Bustanini hapa -
Verse 3
Ah, rafki yangu -
Wanibusu nini? -
Verse 4
Kama mwizi mbaya -
Nitafungwa kamba -
Verse 5
Wananipeleka -
Barazani mwao-
Verse 6
Uwahurumie -
Wenye kunipiga -
Verse 7
Mimi mfalme wao -
Nitatiwa miiba
Verse 8
Nitahukumiwa -
Bila kosa langu
Verse 9
Watanibebesha -
Dhambi zao zote
Verse 10
Nitasulibiwa -
Kwa ajili yao -
Verse 11
Kati ya waovu -
Ni mahali pangu -
Verse 12
Damu itatoka -
Damu ya Mkombozi -
Verse 13
Nitaosha wote -
Na makosa yao -n