SectionsOffertoryBaba Tunaleta Vipaji

Baba Tunaleta Vipaji

Ordinary TimeOffertory
Verse 1

Baba tunaleta vipaji twakuomba sana pokea

Twaja kukushukuru kwa yote ulotujalia wanaon

Chorus

Baba tunaleta twakuomba sana pokea

Baba tunasema, asante, asante

Kutupa uzima, asante, asante

Kwa kutukomboa, asante, asante

Kutuweka huru, asante, asante

Verse 3

Mkate na divai twaleta twakuomba sana pokea

Ndiyo kazi yetu wanao twakuomba sana pokea

Verse 4

Mazao ya mashamba twaleta twakuomba sana pokea

Hata ni kidogo twaleta twakuomba sana pokea

Verse 5

Nazo fedha zetu twaleta twakuomba sana pokea

Utupe baraka twaleta twakuomba sana pokea