SectionsExitBaba Mikononi Mwako

Baba Mikononi Mwako

LentExit
Chorus

Baba mikononi mwako, naiweka roho yangu

Verse 2

Baba uwasamehe, kwani hawajui wanalofanya

Verse 3

Nakwambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami paradisoni,

Verse 4

Mama tazama huyu ndiye mwanao, tazama huyu ndiye mama wako

Verse 5

Ili andiko litimizwe, Yesu alisema naona kiu

Verse 6

Baada ya kupokea siki alisema yametimia

Verse 7

Mungu wangu Mungu wangu, mbona umeniacha

Verse 8

Baba mikononi mwako naiweka roho yangu