SectionsEucharistAulaye Mwili Wangu

Aulaye Mwili Wangu

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Aulaye mwili wangu, na kuinywa damunyangu (Asema Bwana), hukaa ndaninyangu nami hukaa ndani yake x2n

Verse 2

Aulaye mwili wangu, na kuinywa damu yangu,nana uzima wa milelen

Verse 3

Njoni enyi wenye njaa, njoni enyi wenye kiu,nnjoni kwangu niwashibishe.

Verse 4

Aniaminiye mimi, na kuyashika nisemayo,nnitamfufua siku ya mwisho.

Verse 5

Mlapo chakula hiki, mnywapo kikombe hiki,nmwatangaza kifo cha Bwana.