Chorus
Atazidi kuitwa Yesu Mwana wa Maria milele *2
Yesu mwana wa Mungu, (atazidi kuitwa . . .)nni mwana wa Maria milele *2
Verse 2
Yeye ni mwamba, kinga na ngome yangu
Verse 3
Tabibu wangu, mwili na roho yangu
Verse 4
Nitamwimbia zaburi alfajiri
Verse 5
Vizazi vyote vitamtumikia
Verse 6
Njooni wafalme, huyu ni Mungu wetu
Verse 7
Njooni tucheze, ngoma na tarumbeta