Chorus
Astahili enzi utajiri na heshima
Milele milele milele milele
Astahili enzi utajiri na heshima
Milele milele milele milele
Verse 2
Mwanakondoo aliyechinjwa
Astahili kupokea enzi na utajiri
Verse 3
Na hekima na nguvu na heshima
Utukufu kwake pamoja na enzi
Daima na milele
Verse 4
Ee Mungu umpe mfalme hukumu yako
Umpe mwana wa mfalme na haki yako
Verse 5
Atawahukumu walioonewa na watu
Atawaokoa wahitaji, hatamtesa mwenye kuonewan
Verse 6
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo na sasa na siku zote, na milele amina