SectionsEntranceAsifiwe Bwana Mungu

Asifiwe Bwana Mungu

Ordinary TimeEntrance
Chorus

{ Asifiwe Bwana Mungu aliyeumba mbingu na nchi (na nchi)

Asifiwe katika patakatifu ( pake)

Enzi na utawala wake (wa milele)

Asifiwe kwa matendo (matendo) yake makuu} *2n{ Kageuza bahari kuwa nchi kavun( na pia) ametoa maji - kwenye mwamban(Na tena) amewalisha watu - kwa mana kama Mungu } *2n{ Asifiwe yeye kwa matendo yake (hayo) makuu } *2

Verse 2

Asifiwe, Yeye kwa kuwa, ni Bwana wa nguvu,

Na hodari hodari wa vita, nguvu zake zapasua miliman{ Asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana)

Milele (milele) milele (milele)

Milele (milele) milele (milele)

Asifiwe Bwana na nguvu zake (tumpe)

Sifa na heshima ni vyake (ee mfalme) hata milele } *2

Verse 3

Asifiwe yeye kwa kuwa ni Bwana wa mabwana

Na mfalme mfalme wa wafalme,na mamlaka zatawaliwa nayen{ Asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana)

Milele (milele) milele (milele)

Milele (milele) milele (milele)

Asifiwe Bwana na nguvu zake (tumpe)

Sifa na heshima ni vyake (ee mfalme) hata milele } *2

Verse 4

Asifiwe Yeye kwa kuwa ni mume wa wajane,

Na Baba wa walio yatima, upendo wake hauna mipakan{ Asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana), asifiwe (Bwana)

Milele (milele) milele (milele)

Milele (milele) milele (milele)

Asifiwe Bwana na nguvu zake (tumpe)

Sifa na heshima ni vyake (ee mfalme) hata milele } *2