Asante Yesu

Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Ingawa ni Mungu na tena ni mfalme, umejinyenyekeza kwa wadogo sisi

Ulishuka kwetu kukaa na sisi, unabaki kwetu daima katika Ekaristin

Asante Yesu (aleluya) kwa wema wako (aleluya)

Asante Yesu (aleluya) asante sana (aleluya)

Kujitoa kwetu (aleluya) ukawa chakula, asante Yesu, asante sana

Kujifanya kwetu (aleluya) kinywaji cha roho, asante Yesu, asante sana

Verse 2

Tulapo mkate huu wa uzima, tunapata uzima tena wa milele

Tunywapo kikombe hiki cha wokovu, twatangaza ufufuko wako uliye tukomboan

Kila nikikutafakari, nikiwaza upendo wako kwangu nasema

Asante Yesu asante,

Yote unayonitendea, asilani siwezi elezea,

Ee Yesu asante, Yesu asante

Unatufundisha upendo, tuwajali wote wakubwa pia wadogo

Asante Yesu asante

Leo hii umetukuka, ninaomba nami unijaze baraka

Asante Yesu Asante