SectionsThanksgivingAsante Mungu Mwenyezi

Asante Mungu Mwenyezi

Ordinary Time,BaptismThanksgiving
Verse 1

Asante Mungu Mwenyezi, asante (asante)

Muumba mbingu na nchi, asanten{ Nakushukuru Mungu wangu kwa mema yako yote (leo)

Milele hata milele nitaimba sifa zako (mimi)

Nitaimba sifa zako kwa shangwe } * 2

Verse 2

Kwa wingi wa fadhili zako nakushukuru Bwana

Kwa wingi wa rehema zako asante Mungu wangun

Verse 3

Umeniumba mimi Bwana ukanipa akili

Ninakushukuru ee Mungu kwa moyo wangu wote

Verse 4

Nitaziimba sifa zako katika kusanyiko

Nitatanganza Neno lako milele na milele