SectionsThanksgivingAsante Mungu Baba

Asante Mungu Baba

Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Asante Mungu Baba, Mungu wangu asante

Kwa kunipa uzima, Baba asante sana

Umenilinda mimi, wanipa na riziki

Mimi nikushukuruje kwa mema yako *2

Verse 2

Nikushukuru Baba nasema asante Mungu wangu

Maana wewe wanilinda mchana hata usiku

Verse 3

Akili yangu na ikutungie nyimbo nzuri sana

Maana wewe ndiye unifanyiaye maajabu

Verse 4

Umenilinda wiki nzima, nasema asante Bwana

Umenikinga na hatari zote Bwana nashukurun