Chorus
Asante mama wa Yesu,nasante sana mama Maria.
Uliye muombezi wetu,nsisi wanao wa dunianbaraka za mwana wako,ntunazipata kweli Maria.
Yote ni kwa ajili yako,nmuombezi mwema Maria
Verse 2
Furaha tunaipata, udhaifu unatoweka,nunyonge unatutoka, imani inaongezeka.
Verse 3
Walemavu na wagonjwa, Yesunawafariji sana, na pia anawaponya, nankuwaongezea neema
Verse 4
Mapepo wote wabaya, na yule shetaninmuovu, haraka wanakimbia kwa jina lanmwanao Yesu
Verse 5
Uzidi kutuombea,ntupate nguvu za uzima,ntusije tukapotea tufke mbinguni kwa Baba.