Asante Bwana Yesu
Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Asante Bwana Yesu, kwa mema yako (yote),nkwa mema yako uliyotujalia
Asante, kwa mema yako (yote),nkwa mema yako uliyotujalia.
Verse 2
Umetulisha, umetunywesha twashukuru
Mema ya mbingu tumeyapata twashukuru
Mwana wa Mungu u kati yetu twashukuru
Kwa vitu vyote ulivyotupa twashukuru
Msamaha wako umetujalia twashukuru
Asante sana kwa mema yote twashukuru