SectionsThanksgivingAsante Bwana Mungu

Asante Bwana Mungu

Baptism,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Asante Bwana Mungu,n[t] Asante asante Mungu wangu

Asante asante Muumba wangu

Twasema asante

Verse 2

Umejawa na rehema umejawa na upendo

Twaja kwako ewe Bwana utubariki *2

Verse 3

Sisi ni wakosefu twaomba msamaha

Kwa dhambi tutendazo twasema asante *2

Verse 4

Ubarikiwe Baba uinuliwe Bwana

Uhimidiwe Bwana siku zote *2