SectionsExitAngalieni Sasa

Angalieni Sasa

Ordinary TimeExit
Chorus

Kwa maana angalieni sasa yametimia (yale yote)

Manabii walotabiri sasa yametokea (ona)

Verse 2

Baba atamkana mama, mama atamkana Baba

Watoto ni hivyo hivyo, tubuni tubuni sasa

Verse 3

Magonjwa yasiyopona, uasherati wazidi

Uzinzi na ubakaji, tubuni tubuni sasa

Verse 4

Vita pande za dunia, bila sababu yoyote

Watu waabudu fedha, tubuni tubuni sasa

Verse 5

Njaa nayo itazidi ukame chakula hakuna

Watu wateseka sana, tubuni tubuni sasa

Verse 6

Neno litahubiriwa, pande zote za dunia

Watu wamfuate nani, tubuni tubuni sasa

Verse 7

Manabii wa uongo, watazunguka dunia

Watawapotosha watu, tubuni tubuni sasa

Verse 8

Tubuni tubuni sasa, tubuni tubuni sasa