Angalieni Nawatuma Kama Kondoo
Baptism,Ordinary TimeBible Procession
Chorus
{ Angalieni mimi nawatuma kama kondoo
Kati ya mbwa mwitu } *2n{ Msiwe wakali tena muwe na busara
Hata muwe wapole tena kama njiwa } *2
Verse 2
Angalieni sana haya niwaambiayo ninyi
Myashike vizuri, mshinde majaribu
Mpate kuokokan
Verse 3
Muwe wavumilivu na pia wa upendo
Kama nilivyo wapenda
Verse 4
Roho wa kweli awaongoze
Mpate kufaulun