SectionsOffertoryAngalieni Msifanye Wema

Angalieni Msifanye Wema

Ordinary Time,MarianOffertory
Chorus

Angalieni msifanye wema wenu,

Msifanye wema wenu machoni mwa watu,

Ili mtazamwe nao,

Kwa maana, mkifanya hivyo hampatindhawabu kwa baba yenu aliye Mbinguni

Verse 2

Basi wewe utoapo sadaka,

Usipige panda mbele yako,

Kama wanafiki wafanyavyo,nkatika masinagogi na njiani,

Ili watukuzwe na watu.

Verse 3

Amin amin nawaambieni,

Wamekwisha pata dhawabu yao,

Bali wewe utoapo sadaka,

Hata mkono wako wa kushoto usijue,

Ufanyalo mkono wako wa kuume.n