SectionsExitAngalieni Kesheni

Angalieni Kesheni

Marian,Ordinary TimeExit
Chorus

Angalieni ke-sheni na ku-jiweka tayarinasije Bwana akawakuta m-melala

Angalieni ke-sheni na ku-jiweka tayarinasije Bwana akawakuta m-melala

Verse 2

Ke-sheni kesheni basi kwa maana hamjui

Ni siku ipi atakayokuja Bwana kwenu

Verse 3

Lakini fahamuni neno hili, kama mwenye nyumba angalijua

Saa atakayokuja mwenyeji angali kesha angali kesha

Verse 4

Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani

Ndipo ajapo ajapo Mwana wa Adamu