SectionsExitAnakuja Mwenye Enzi

Anakuja Mwenye Enzi

AdventExit
Verse 1

Anakuja mwenye enzi Bwana mfalme

Wanadamu kutukomboa

Anakuja kututoa utumwani

Wanadamu kutukomboa

Chorus

{ Bwana mfalme, anakuja kwetu

Anakuja anakuja anakuja kwetu } *2n

Verse 3

Anakuja andaeni njia yake

Tayarisha mapito yake

Nasi kweli tukamlaki ndiye mkuu

Ni mwanga wetu dunianin

Verse 4

Anakuja kwa ajili yetu sisi

Anatuletea wokovu

Ni masiha hivyo nasi tumngojee

Tumaini la wanadamu