Chorus
{ Amua mwenyewe ndugu unayesikiliza,
Kwa moyo wako pia matendo yako
Amua mwenyewe ee amua mwenyewe } *2
Siku itafika tena yaja,
Hakutakuwa kuamua, wala kuambiwa maanan{ Kila mtu atauchukua, atauchukuanmzigo wake mwenyewe } *2
Verse 2
Ndugu amua mwenyewe leo,
Uchague kwa moyo wako.
Verse 3
Uache dhambi umrudie Mungu,
Uchague kwa moyo wako.
Verse 4
Toa sadaka za kumpendeza,
Uchague kwa moyo wako.