Chorus
{[s] Amtegemeaye Bwana Mungu,n[w] Ni kama Mlima Sayuni ) *2n(Twakutegemea wewe maana hatutatishika
Kwa maana, sisi ni watoto wakonnawe ni Baba yetu)*2
Verse 2
Kwa uwezo wako Baba ulio nao
Ndiyo maana mataifa yanakusifu
Verse 3
Twaamini kwamba wewe ndiwe Muumba
Ndiyo maana sisi Bwana twakutegemea
Verse 4
Ee Bwana twakuomba ututazame
Angalia mataifa yakutegemee