Amka Kinanda
Baptism,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
{ Ee Mungu Mungu wangu (moyo)
Moyo wangu u thabiti (thabiti)
Nitaimba nitaimba, nitaimba zaburin{ Amka kinanda ewe kinanda - amka ewe kinanda
Amka kinubi ewe kinubi - amka ewe kinubi
Nitaamka alfaji-ri nitamuimbia Bwana. } *2
Verse 2
Ee Mungu nitakushukuru kati ya watu
Nitakuimbia zaburi kati ya mataifan
Verse 3
Kwa maana fadhili zako ni za milele
Na uaminifu wako hata juu mawinguni
Verse 4
Ee Mungu utukuzwe juu ya mbingu yote
Na juu ya nchi yote uwe utukufu wako