SectionsEntranceAmka Ewe Usinziaye

Amka Ewe Usinziaye

Ordinary Time,MarianEntrance
Chorus

Amka ewe usinziaye, amka ewe usinziaye

Amka, amka, fungua macho, amka

Pesa ni kitu cha kushangaza

Imezitega nyoyo za watu tazama,

Tazama uaminifu hakuna

Imejenga matabaka kwa maskini na matajiri, pesa

Imekuwa ni kitanzi, inafilisha hata sheria, pesa

Inagombanisha ndugu kwa ndugu pesa (tena)

Imekuwa ndio mzizi wa tamaaa

Lakini ajabu ni kwamba,

Pesa kamwe pesa kamwe,

Haitanunua mbingu ee Mungu

Kama matajiri watamiliki hewa,

Maskini wangekuwa wapi

Kama matajiri wangemiliki mbingu,

Maskini wangekosa hakin

Verse 2

Pesa ni rafiki kwenye shida zako

Lakini pesa ni adui kwenye raha zako

Verse 3

Pesa yabadili msimamo wako

Tazama pesa ni mbolea hustawisha dhambi

Verse 4

Pesa ni mtego kwa imani yako

Pesa ni mtego kwa imani yako

Na tena pesa ni kioo kwa tabia yako