Verse 1
Amezaliwa Yesu - twimbe aleluya.
Ni Mwana wake Mungu -
Chorus
Ale-luya Mwokozi wa dunia
Ale-luya Kashuka kwetu sisi.namezaliwaYesu twimbe aleluya.
Verse 3
Amezaliwa Mjumbe -
Wa shauri kuu la Mungu -
Verse 4
Uzima wake Baba -
Umetujia leo -
Verse 5
Mipaka ya dunia -
Ione usalama -
Verse 6
Malaika waliimba -
Kwa shangwe na furaha -
Verse 7
Utukufu kwa Mungu -
Amani duniani
Verse 8
Pamoja nao nasi -
Tuende kumwabudu