Verse 1
Njooni na vinanda, ngoma zeze vinubi
Tumpigie Mungu wetu muziki mtakatifu
Chorus
Ametamalaki - ametamaliki Bwana ametamalaki
Mbinguni ni yeye -
Duniani ni yeye -
Ametamaliki -
Verse 3
Malaika Mbinguni wanamsifu Mungu
Na duniani pia asifiwaye ni Mungu wa milele
Verse 4
Asubuhi mapema ndege walialia
Wakisifu pia wakishukuru kwa sauti za shangwen
Verse 5
Tazama sura yako na ya jirani yako
Muonekano huo ni mfano wake Mwenyezi Mungun
Verse 6
Uhai wetu uko mikononi mwa Bwana
Autoaye ndiye auchukuaye milele milele
Verse 7
Uwepo wake unaonekana wazi
Kwa matendo ya huruma ayatendayo kila siku