SectionsExitAmelaaniwa Mtu Yule

Amelaaniwa Mtu Yule

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Bwana asema hivi

Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu

Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yaken(Na moyoni mwake amemwacha Bwana

Na moyoni mwa-ke amemwacha Bwana *2)

Verse 2

Kwa maana yeye atakuwa kama vile fukara nyikani

Naye ataona siku zote yote mema yatendwayo

Verse 3

Yeye ataishi maisha ya jangwani na yaliyo na ukame

Kwenye nchi kavu, yenye chumvi isiyokuwa na watu

Verse 4

Kama vile kware asanyaye makinda asiyoyazaa

Ni sawa na yule apataye mali wala si kwa hakin

Verse 5

Amebarikiwa mtu yule amwitaye Bwana ndiye njia,

Ndiye tumaini lake yeye siku za maisha yake