Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana utuhurumie (Ee Bwana) – Bwananutuhurumie *2
Kristu utuhurumie (Ee Kristu) – Kristunutuhurumie *2
Bwana utuhurumie *2
Gloria
Glory to God
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni nanamani kote duniani (Kwa watu)nwenye mapenzi mema
Tunakusifu Baba tunakuheshimu
Twakuabudu sisi tunakutukuza *2
Twakushukuru Mungu kwa ‘tukufu wakonmkuu ewe Mungu Mfalme (Ee Baba)nwa mbingu Baba yetu
Bwana wetu mwokozi Yesu Kristu Mwananwa pekee wake Mungu (Uliye)
Mwana kondoo wa Mungu
Unayeziondoa dhambi zote za dunianutuhurumie (pokea) pokea ombi letu
Wewe unayeketi kuume kwake Babanutuhuruimie (Sikia) sikia ombi letu
Kwani peke yako ndiye Bwana pekenyako mkuu na Mkombozi (Pekee)npekee Yesu Kristu
Kwa umoja wa Roho Mtakatifu ndaninyake Bwana watukuzwa (Ee Yesu)nmilele na milele
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu, mtakatifu Bwana –
Mungu wa majeshi *2n
Mbingu na dunia zimejaa, zimejaa –
Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako *2
(Hosana juu *4 mbinguni *2)
Mbarikiwa – anayekuja *2 – mbarikiwa
Mbarikiwa anayekuja kwa jina (jina)nlake Bwana *2
Hosana juu *4 mbinguni
Mbarikiwa – anayekuja *2 – mbarikiwa
Lamb of God
Agnus Dei
Mwana kondo wa Mungu,nuondoaye dhambi (za ulimwengu),
Ee Mwana utuhurumie *2n
(Mwana kondoo wa Mungu uondoayendhambi (za ulimwengu),n(Ee Mwana utujalie amani) *2