SectionsSign of PeaceAmani Ya Bwana

Amani Ya Bwana

Ordinary TimeSign of Peace
Verse 1

Amaninamani ya Bwana nakupa aa

Amani ya Bwana nakupa

Chorus

[Nishike mkono] nishike mkono Bwana wangu

Mimi na wewenmimi na wewe Bwana wangu

Uniongoze

Uniongoze Bwana wangu

Mpaka mbinguni

Mpaka mbinguni Bwana wangun

Verse 3

Upendo........

Verse 4

Uzima..........

Verse 5

Furaha..........

Verse 6

Baraka..........

Verse 7

Neema..........

Verse 8

Fadhili..........