SectionsExitAleluya Kuu

Aleluya Kuu

EasterExit
Chorus

Aleluya, aleluya, aleluya, aleluya, ale-luya *2n{ Amefufuka alivyosema,naleluya, aleluya, aleluya, aleluya } *2

Verse 2

Amefufuka alivyosema, aleluya aleluya . . . * s/a/t/b

Verse 3

Siku hii ya Bwana, tukufu,

Tuifurahie na tuishangilie

Verse 4

{ Kristu amefufuka ni kweli ni kweli ni kweli . . .

Kristu amefufuka, ni kweli, ni kweli,

Aleluya aleluya . . . } * [s/a/t/b]

Verse 5

Amefufuka kaburini, Kristu kafufuka

Aleluya, aleluya . . .

Amefufuka alivyosema

Bwana mfalme mkuu

Aleluya aleluya . . .

Verse 6

Amefufuka kweli kweli Bwana mfalme mkuu

Aleluya aleluya . . .