Aleluya Aleluya Aleluya
Baptism,Ordinary TimeBible Procession
Chorus
Aleluya aleluya, aleluya *2n{ Aleluya aleluya, aleluya aleluya
Aleluya aleluya, aleluya } *2
Verse 2
Mungu nirehemu mimi, nirehemu
Sawasawa na fadhili zako Bwana
Verse 3
Kwa rehema zako Bwana uyafute
Makosa yangu ee Bwana nitakaten
Verse 4
Nioshe kabisa Bwana na uovu
Nitakase dhambi zangu na uovun
Verse 5
Nakiri makosa yangu, Bwana wangu
Nimekukosea wewe Bwana wangu
Verse 6
Niumbie moyo safi, moyo safi
Usinitupe ee Bwana mbali nawen