Chorus
Akawanyeshea mana, akawanyeshea mana ili wale
Akawapa nafaka ya Mbinguni
Akawapa nafaka ya Mbinguni ili wale
Verse 2
Mambo tuliyosikia na kuyafahamu
Ambayo Baba zetu walituambia
Hayo hatutaficha wana wenu
Huku tukiwaambia kizazi kingine
Sifa za Bwana na nguvu zake
Verse 3
Lakini aliyaamuru mawingu juu
Akaifungua milango ya Mbinguni
Verse 4
Mwanadamu akala chakula cha mashujaa
Aliwapelekea chakula cha kuwashibisha