Lord Have Mercy
Lord Have Mercy
Bwana tuhurumie
Ee Bwana tuhurumie, ee Bwana ee,
Bwana tuhurumie
Kristu tuhurumie
Ee Kristu tuhurumie *3
Gloria
Glory to God
Utukufu juu kwa Mungu mbinguni
Na amani duniani kwa watu wa mapenzinwenye mapenzi mema.
Tunakusifu (Baba) tunakuheshimu.
Tunakuabudu (Baba) tunakutukuza.
Baba tunakushukuru kwa ajili ya utukufu,nutukufu wako mkuu.
Ewe Mungu ni mfalme wa Mbinguni,
Mungu Baba, Baba ndiwe Mwenyezi.
Ewe Bwana Yesu Kristu ndiwe mwananwake Mungu, ndiwe mwana wake Baba.
Ewe Bwana Mungu Mwana kondoo wake
Mungu, Mwana wake Baba
Ewe mwenye kuondoa zetu dhambi zandunia, Bwana utuhurumie.
Ewe mwenye kuketi kuume kwake Baba,newe utuhurumie.
Ni kwa kuwa ndiwe uliye pekee yako
Mtakatifu, Bwana Yesu Kristu
Na pamoja naye Roho Mtakatifu katikanutukufu wa Mungu Baba.
Holy Holy
Holy, Holy, Holy
Mtakatifu Bwana
Mtakatifu Bwana, Mtakatifu Bwanan(Bwana) Mungu wa majeshi x2
hosanna juu mbinguni,nhosanna (hosanna) juu mbinguni.
Mbinguni na dunia zimejaa utukufu wakon
Mbarikiwa ajaye kwa jina lake Bwana
Hosanna juu mbinguni,nhosanna (hosanna) hosanna juu mbinguni *2
Aleluya
Alleluia
Halleluyaia
Halleluia, alleluia (halleluia)
Halleluia halleluia *2
hosanna juu mbinguni,nhosanna (hosanna) juu mbinguni.
Mbinguni na dunia zimejaa utukufu wakon
Mbarikiwa ajaye kwa jina lake Bwana
Hosanna juu mbinguni,nhosanna (hosanna) hosanna juu mbinguni *2
Amen
Great Amen
Amina
Amina, amina (amina)
Amina, amina *2
Lamb of God
Agnus Dei
Mwanakondoo
Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia utuhurumie *2
Mwanakondoo,
Mwana wa Mungu uondoaye dhambi zandunia. Utuhurumie.
Utujalie, utujalie, amani
Utujalie, utujalie, utujalie amani. *3