Aiyelele

Ordinary Time,MarianThanksgiving
Chorus

Aiyelele iyele iyele iyele iyele *2

Verse 2

Umeteuliwa, kwa kazi ya Mungu-Iyelele

Umebarikia, kwa kazi ya Mungu-

Jiandae sasa, kwa kazi ya Mungu-

Usisite ndugu, kwa kazi ya Mungu-

Verse 3

Tulifurahi leo, na tushangilie-iyelele

Tucheze pamoja, tuimbe pamoja-

Tupige na ngoma, tucheze na zeze-

Tupige filimbi, wote tufurahi-

Verse 4

Ni furaha kubwa, tushangilie-iyelele

Kwa vifijo tele, tumshangilie-

Kwa ngoma na zeze, tumshangilie-

Pia kwa filimbi, tumshangilie-

Verse 5

Kwa vigelegele, tumshangilie-iyelele

Wanyama na ndege, tumshangalie-

Milima na mabonde, tumshangilie-

Bahari na mito, tumshangilie iyelele-