Aiyelele
Ordinary Time,MarianThanksgiving
Chorus
Aiyelele iyele iyele iyele iyele *2
Verse 2
Umeteuliwa, kwa kazi ya Mungu-Iyelele
Umebarikia, kwa kazi ya Mungu-
Jiandae sasa, kwa kazi ya Mungu-
Usisite ndugu, kwa kazi ya Mungu-
Verse 3
Tulifurahi leo, na tushangilie-iyelele
Tucheze pamoja, tuimbe pamoja-
Tupige na ngoma, tucheze na zeze-
Tupige filimbi, wote tufurahi-
Verse 4
Ni furaha kubwa, tushangilie-iyelele
Kwa vifijo tele, tumshangilie-
Kwa ngoma na zeze, tumshangilie-
Pia kwa filimbi, tumshangilie-
Verse 5
Kwa vigelegele, tumshangilie-iyelele
Wanyama na ndege, tumshangalie-
Milima na mabonde, tumshangilie-
Bahari na mito, tumshangilie iyelele-