Ahimidiwe Mungu Baba
Marian,Ordinary TimeBible Procession
Chorus
Ahimidiwe Mungu Baba, asiyeyakataa maombi
Maombi yangu,ahimidiwe yeye
Ahamidiwe Mungu Baba asiyeyakataa maombi yangu
Wala hakuniondolea fedha zake mavumbini
Nami nami siku zote nitaziimba sifu zake zote Mungu
Verse 2
Mimi nilimlilia Bwana,Mungu kwa sauti
Sifa zake nikazitangaza, naye amenijibu
Verse 3
Lakini kweli Mungu,Mungu amenisikiliza
Hakika amenisikiliza,maneno ya sala yangu
Verse 4
Enyi mnaomcha Mungu,njooni nyote mkasikilize
Nami nitayasikilizeni,aliyonitendea