SectionsOffertoryAcheni Visingizio

Acheni Visingizio

Ordinary TimeOffertory
Chorus

Acheni visingizo wanadamu,nacheni visingizio kwamba hali ni ngumu *2

Nenda mkatoe (vipaji) nenda mkatoe vipaji nnenda mkatoe vipaji kwa bwana *2

Verse 2

Siyo ninyi wenye magari ya kifahari mnaodai hali ni ngumu.

Siyo ninyi wenye fedha nyingi mifukoni mnaodai hali ni ngumu.

Verse 3

Siyo ninyi wenye majumba ya kifahari mnaodai hali ni ngumu.

Ndani yake mmejaza vitu vya dhamani mnaodai hali ni ngumu.

Verse 4

Siyo ninyi mnaovuna mazao mengi mnaodai hali ni ngumu.

Siyo ninyi mnaopokea mishahara mnaodai hali ni ngumu.

Verse 5

Msidhani mmepata kwa uwezo wenu mnaodai hali ni ngumu.

Bali ni Mungu aliye wajalia hayo mnaodai hali ni ngumu.

Verse 6

Kumbukeni mjane alotoa dinari mnaodai hali ni ngumu.

Hakubakiza chochote mfukoni mwake mnaodai hali ni ngumu.