SectionsThanksgiving(A) Mungu Baba

(A) Mungu Baba

Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Verse 1

Mungu Baba, twakuabudu,ntwakushukuru, twakusifu)

Maisha yangu na nafsi yangu,nnaitolea mbele yako x2n

Mungu Mwana twakuabudu,ntwakushukuru, twakusifu, maisha yangunna dhambi zangu,nnazitolea mbele yako x2n

Mungu Roho, twakuabudu,ntwakushukuru, twakusifu,nmaisha yangu na shida zangunnazitolea mbele yako x2n

Maisha yangu na nafsi yangu .....

Maisha yangu na dhambe zangu....

Maisha yangu na shida zangu...

Chorus

Nakusunga nitukusunga, nawathi tuyina,

Asa nutaiwe, nitukukatha x2

Verse 3

Utunete Athembi mana Asa Mwiai

Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2n

Utunete thayu mana Asa Mwiai

Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2n

Utunete mali mana Asa Mwiai

Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2n

Utunete syana mana Asa Mwiai

Kwoondu wa matei, Asa nutaiwe x2